Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge akiwa na wajumbe wa bodi mpya ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi
wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) mara baada ya kuzinduliwa.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi iliyomaliza muda wake.ya Mamlaka ya majisafi na Usafi
wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) .
Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge akiwa katika picha
ya pamoja na wafanyakazi wa Mamlaka ya
majisafi na Usafi
wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) .
Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge akiwa katika picha
ya pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya Mamlaka ya
majisafi na Usafi
wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA).
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
WAJUMBE
WA BODI MPYA YA MUWSA
- BIBI ELIZABETH MINDE
- ENG: ABDALLA MKUFUNZI
- BW: BONIFACE MARIKI
- BW: FILBERT KAHETA
- BIBI HAJIRA MMAMBE
- Mh. RAYMOND MBOYA
- Eng. AISHA AMOUR
- BW. MICHAEL MWANDEZI
WAJUMBE WA BODI ILIYOMALIZA MUDA WAKE
- Mh. SHALLY RAYMOND (MB)
- Mh. JAPHARY MICHAEL (MB)
- Eng. ALFRED SHAYO
- BW. JESHI LUPEMBE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...