Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Happyness Seneda (kulia) akipokea moja ya madawati 50 yaliyotolewa na Dr.Amon Mkoga Foundation na kukabidhiwa kwake na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Ndugu. Amon Mkoga, wanaoshuhudia (kushoto alievaa kaunda suti ni Katibu Tawala Wilaya ya Kisarawe, Mtela Mwambapa, katika Afisa Mauzo kutoka Kampuni ya Noble Motors, Josephu Simon ambao ndio wadhamini wa mradi huo.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Happyness Seneda (kulia) akitoa shukrani mara baada ya kupokea madawati.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Happyness Seneda (katikati), Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Ndugu. Amon Mkoga, kushoto Afisa Mauzo kutoka Kampuni ya Noble Motors, Joseph Simon ambao ndio wadhamini wa mradi huo wakiwa katika picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...