Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF ), Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa BAKWATA alipomtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abobakar Zubery  ofisini kwake Kinondoni jijini Dar es salaam mapema leo. Waliokaa kuanzia kushoto ni Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam  Sheikh Alhad Mussa, Jenerali Venance Mabeyo, Sheikh Mkuu Abubakar  Zubery. Waliosimama kuanzia kushoto Katibu Mkuu Mstaafu Suleiman Lolila, Haidari Kambili, Sheikh Mussa Hemed, Katibu wa dini Mohammed Hamisi pamoja na Tabu kawambwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...