Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF ), Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa BAKWATA alipomtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abobakar Zubery ofisini kwake Kinondoni jijini Dar es salaam mapema leo. Waliokaa kuanzia kushoto ni Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhad Mussa, Jenerali Venance Mabeyo, Sheikh Mkuu Abubakar Zubery. Waliosimama kuanzia kushoto Katibu Mkuu Mstaafu Suleiman Lolila, Haidari Kambili, Sheikh Mussa Hemed, Katibu wa dini Mohammed Hamisi pamoja na Tabu kawambwa
Home
HABARI
Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Tanzania jenerali Venance Mabeyo amtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Zuberi ofisini kwake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...