Mkurugezi wa Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu JOSEPH PERAMIHO, iliyopo halimashauri ya wilaya ya peramiho mkoani Ruvuma, BRUDA ASGARI STUFE ,amezindua miradi mitatu ya mabomba ya maji safi yenye thamani ya shilingi milioni 21 katika vijiji vya Mgazini,Peramiho B na Kiwulungi katika tarafa ya Ruvuma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...