Naibu
katibu Mkuu CCM Bara,Ndugu Rodrick Mpogolo akimsikiliza Katibu Itikadi
na Uenezi Humphrey Polepole walipokuwa wakipanga mikakati kufanikisha
mkutano mkuu wa CCM uatakaofanyika katika ukumbi wa mikutano, Dodoma leo
Katibu
Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa
Kampuni ya Jitegee,Bwa.Antony Machundewalipokuwa wakikagua maandalizi
ya mkutanao Mkuu wa CCM,utakaofanyika mjini Dodoma
Msaidizi wa Mwenyeikiti wa CCM Suleiman Mwenda akimuelekeza jambo
Naibu katibu Mkuu CCM Bara,Ndugu Rodrick Mpogolo walipokwenda kujionea
maendeleo ya maandalizi ya ukumbi kwa ajili ya Mkutano mkuu wa
CCM,unaotarajiwa kufanyika mjini Dodoma
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...