Na  Bashir  Yakub
Zipo  namna  nyingi  za  kuachana  kisheria  kwa  wanandoa  ambao  wanadhani  sasa hawawezi  kuendelea. Wengi  wetu  tunajua  zile  za  kupitia mahakamani.  Zile  ni  sahihi  lakini  upo  uwezekano  pia wa  kuachana  kwa  mkataba  maalum  bila  kuhitaji  kwenda  mahakamani.

Aidha  yafaa  ifahamike  kuwa  Kuachana  katika  ndoa  na  kuamua  kuishi   nje  ya  ndoa  ni  jambo  la  kawaida.  Kisheria si  dhambi  mwanandoa  yeyote   kuona  kuwa  sasa  hawezi  kuendelea  kuwa  katika  ndoa.  

Ni  kwasababu  hii  hata  sheria  ikatambua   uwezekano  wa  watu  kuachana  na  halikadhalika  ikaweka  utaratibu  maalum  kwa  walio  tayari  kwa  hilo.

Tofauti  na kuachana  kwa  mkataba  namna  nyingine  ni  kwa  njia  ya  talaka  mahakamani  na  kwa  njia  ya  kutengana  mahakamani  ambazo  nazo tutaziona  hapa  chini kabla  ya  kutizama  ile  ya  mkataba.

Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...