Naibu Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Hamisi A.
Kigwangalla akimtunuku zawadi mfanyakazi Bora wa Wizara yake (Idara Kuu ya
Maendeleo ya Jamii) mwaka 2016/17, Bi Emiliana Nyarufunjo, mtalaamu wa
TEHAMA wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika katika ukumbi wa
Chuo kikuu cha Dodoma, hivi karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...