Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Hamisi A. Kigwangalla akimtunuku zawadi mfanyakazi Bora wa Wizara yake (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii) mwaka 2016/17, Bi Emiliana Nyarufunjo, mtalaamu wa TEHAMA wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika katika ukumbi wa Chuo kikuu cha Dodoma, hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...