Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison
Mwakyembe,Naibu Waziri wake Mhe.Anastazia Wambura,Waziri wa Mambo ya Ndani
Mhe.Mwigulu Nchemba,baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja
na Mshindi wa Miss Tanzania Supermodel Bi.Asha Mabula katika viwanja vya Bunge
mara baada ya mrembo uyo kutembelea Bungeni hapo Mjini Dodoma. Picha na
Daudi Manongi-MAELEZO, DODOMA.
Home
Unlabelled
MISS TANZANIA SUPERMODEL ATEMBELEA BUNGE MJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...