Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima Mohd Hafidh akifungua warsha ya siku moja ya kuwaelimisha wafanyabiashara wa kiisalamu umuhimu wa kutoa zaka kwa njia iliyosahihi ili kupata radhi Mwenye ez Mungu katika Ukumbi wa Shantimba Mombasa Mjini Zanzibar.
Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu Sheikh Jabir Haidara Jabir akitoa mada ya umuhimu wa kutoa zaka na faida zake katika warsha iliyoandaliwa na Jumuiya ya JUZASA katika Ukumbi wa Shantiba Mombasa Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa JUZASA Sheikh Said Suleiman (Gwiji) akitoa maelezo juu ya malengo ya Jumuiya hiyo katika warsha iliyoandaliwa ya kuhamasisha wafanyabiashara kuelewa umuhimu wa kutoa zaka katika Ukumbi wa Shantiba Mombasa Mjini Zanzibar.Picha na Makame Mshenga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...