Afisa Masoko
wa Nssf Riziki Kibwasali (kushoto), akizungumza na baadhi ya wateja
waliotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika
viwanja vya Saba saba jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko
wa Nssf Riziki Kibwasali (kushoto),akiwaonyesha fomu baadhi ya wateja
waliotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika
viwanja vya Saba saba jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko
wa NSSF, Salama Mbarak (kushoto), akizungumza na baadhi ya wateja waliotembelea
banda lao wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Saba
saba jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko
na UhusianoNSSF, Aisha Sango (kulia), akizungumza na baadhi ya wateja waliotembelea
banda lao wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Saba
saba jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya
wateja wakiuliza maswali iliwaweze kupata kadi ya bima ya matibabu walipotembelea banda la Nssf wakati wa
maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Saba saba jijini Dar es
Salaam.
Baadhi ya wateja
wakijaza fomu kwa ajili ya kupata kadi ya bima ya matibabu walipotembelea banda
la Nssf wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Saba
saba jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...