Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati) akipatiwa maelezo juu maendeleo ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya kutoka kwa Mkurugenzi wa tawi hilo Dkt. Heriel Nguvava ,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Paul Ntinika.Waziri alitembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC.TPSC ina matawi sita.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa tawi la Mbeya wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt Heriel Nguvava (kulia) wakati Waziri alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita, kushoto ni Mkuu wa TPSC Dkt. Henry Mambo 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika kulia akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa tawi la Mbeya wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt Heriel Nguvava wakati Waziri huyo alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita 
Mfanyakazi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya Nuhuman Iddy akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika wakati Waziri huyo alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati aliyekaa mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi wa cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya, kulia kwake ni Mkuu wa TPSC Dkt. Henry Mambo , wengine ni viongozi waandamizi wa mkoa wa Mbeya 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...