Mwanasiasa maarufu nchini, Tambwe Hizza amefariki Dunia leo alfajiri nyumbani kwake Mbagala Kizuiani, jijini Dar es salaam.

Inaelezwa kuwa Marehemu Tambwe Hizza amefikwa na mauti hayo akiwa usingizini, kwani jana mpaka usiku alionekana kuwa mzima na hana dalili zozote za kuumwa.

Taarifa za msiba huu zimethibitishwa na Msemaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tumaini Makene.

Msiba upo nyumbani kwa marehemu, Hizza huko Mbagala Kizuiani, Jijini Dar es salaam.

Mungu ailaze mahapa pema roho ya Marehemu Tambwe Hizza - Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...