Nahodha wa timu ya Bakoba Fc akiwa amebeba Kombe la Ubingwa leo hii jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba mara baada ya kuibuka Kidedea kwa kuifunga Timu ya Ijuganyondo bao 3-0. Katika Mchezo huo Kipindi cha kwanza hakuna Timu iliyopata bao kipindi cha kwanza, Kipindi cha pili goli zote tatu zilipatikana Goli la kwanza likifungwa na Denis Msuva, Bao la pili lilifungwa na Datius Peter na bao la tatu lilifungwa na Ezekiel Izack aliyekuwa amevaa jezi namba 10.

Picha zote na Faustine Ruta, Bukoba.
Picha ya Pamoja ya Mabingwa Bakoba Fc na Mdhamini wa Ligi hiyo ya Kamala Cup 2018 pamoja na Mgeni rasmi na Viongozi wengine.
.
Kikosi cha Timu ya Bakoba kilichoanza dhidi ya Timu ya Ijuganyondo Fc
Kikosi cha Timu ya Ijuganyondo Fc kilichoanza.
Taswira mbalimbali, Kaitaba watu waliingia kwa wingi kushuhudia mtanange huo wa Fainali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...