Mbunge wa viti maalum mkoa wa Ruvuma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jacqueline Ngonyani Msongozi, amewata wazazi kuwafichua watu wanaowapa mimba wanafunzi pamoja watoto waliochini ya umri wa miaka 18 ili wachukuliwe hatua.
“ Tatizo la mimba za utotoni kwa wilaya yetu ya Tunduru ni tatizo sugu, Ninawaombeni wanawake wenzangu kwa kuwa sasa tumefika mahari tunajitambua na kwa kuwa tumefika mahali nasisi tunataka tutambulike tusimamie watoto wetu ipasanyo ili watoto hawa wawe katika makuzi na malezi mazuri , Kale kamchezo waache ”
Kwa undani wa habari hii tizama video yake hapo chini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...