Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Aida Juma akitoa hotuba ya ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa  Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Bahari Chuo Kikuu Dar es salaam Zanzibar Dk. Matern S.P.Mtolera akitoa hotuba ya Makaribisho kwa Mgeni rasmi  katika Ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa  Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Aida Juma kushoto akipatiwa maelezo kuhusiana na utafiti wa mwani na Mtafiti wa Mwani Dk. Flower Ezekiel Msuya katika ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika Ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Baadhi ya wanafunzi wa Sayansi  waliohudhuria katika Ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa  Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Bahari Chuo Kikuu Dar es salaam Zanzibar, Dk. Matern S.P. Mtolera akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya ufunguzi wa Sherehe za Nne za Maonesho ya Wiki ya Utafiti wa  Sayansi ya Bahari iliofanywa na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Bahari Dar es Salaam Buyu Wilaya ya Magharibi B Unguja. Picha Na Yussuf Simai/Maelezo Zanzibar.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...