Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF ,Professa Godius Kahyarara (pichani kulia) akimkabidhi baadhi ya nyaraka kwa MKurugenzi mkuu mpya wa NSFF Ndugu William Erio kwenye makabidhiano ya ofisi leo makao makuu ya Shirika hilo.
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF ,Professa Godius Kahyarara akizungumza jambo na MKurugenzi mkuu mpya wa NSSF Ndugu William Erio mara baada ya makabidhiano ya ofisi leo makao makuu ya Shirika hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...