Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Shirika  la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF ,Professa Godius Kahyarara (pichani kulia) akimkabidhi  baadhi ya nyaraka kwa MKurugenzi mkuu mpya wa NSFF Ndugu William  Erio kwenye makabidhiano ya ofisi leo makao makuu ya Shirika hilo.
 Mkurugenzi mkuu wa Shirika  la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF ,Professa Godius Kahyarara akizungumza jambo na MKurugenzi mkuu mpya wa NSSF Ndugu William  Erio mara baada ya makabidhiano ya ofisi leo makao makuu ya Shirika hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...