Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP - Phaustine Kasike akisoma ubao mara baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa nyumba ya walimu wa Shule ya Sekondari Bwawani leo Siku ya wazazi, Agosti 16, 2018 Mkoani Pwani.
Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP - Phaustine Kasike akitoa hotuba fupi mbele ya wazazi na wanafunzi wa Bwawani Sekondari katika Maadhimisho ya Kumi na tano ya Siku ya wazazi ya Shule hiyo leo Agosti 16, 2018 Mkoani Pwani.
Wanafunzi wa Bwawani wakitoa burudani ya Wimbo Maalum wa Shule hiyo kama inavyoonekana katika picha.
Meza Kuu wakiimba wimbo wa Shule ya Sekondari Bwawani kama wanavyoonekana katika picha(katikati) ni Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP - Phaustine Kasike(kulia) ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo ambaye ni Kamishna wa Magereza,Gaston Sanga(kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...