Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF anaetambuliwa na Msajili wa Vyama Pro,Ibrahim Haroun Lipumba akizungumza na wanachama wa chama hicho waliohudhuria katika Mkutano wake wa kwanza uliofanyika katika Ukumbi wa Baitul Yamiyn bwawani mjini Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Baadhi ya Wanachama wa chama cha Wananchi CUF waliohudhuria katika Mkutano wa Kwanza wa Mwenyekiti wa CUF anaetambuliwa na Msajili wa Vyama Pro,Ibrahim Haroun Lipumba uliofanyika katika Ukumbi wa Baitul Yamiyn bwawani mjini Zanzibar.
Baadhi ya Wanachama wa chama cha Wananchi CUF waliohudhuria katika Mkutano wa Kwanza wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF anaetambuliwa na Msajili wa Vyama Pro,Ibrahim Haroun Lipumba uliofanyika katika Ukumbi wa Baitul Yamiyn bwawani mjini Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...