Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto ( Idara
ya Afya) Dkt. Mpoki Ulisubisya akiongea na Waganga wakuu wa Mikoa na
Halmashauri wakati wa kufunga mkutano wa Waganga Wakuu wa Mikoa na
Halmashauri hawapo pichani ,kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa OR-TAMISEMI Dkt.
Zainabu Chaula.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali watu kutoka Wizara ya Afya Deodata Makana
akiongea na Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri wakati wa kufunga mkutano
wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri hawapo pichani uliofanyika jijini
Dodoma.
Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri wakifuatilia kwa makini maada
mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na wawasilishaji mbalimbali hawapo pichani
wakati wa kufunga mkutano wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri
uliofanyika jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...