Wanafunzi wa shule ya sekondari Lyoto wanufaika na Sauti ya Shangazi mara baada ya kuwatembelea Shuleni hapo, Shangazi Mary Steward Mwenisongole ni Mwanamke alie jitoa kuwasaidia mabinti wa mashuleni kupunguza na kuondoa mazingira hatarishi katika ukuaji wao pindi wakiwa masomoni na wakiwa majumbani kuepuka vishawishi mbalimbali vinavyowapelekea kujiingiza katika njia zisizo sahihi zinazo pelekea kupata magonjwa ya zinaa, mimba na athali mbalimbali katika ukuaji wa Mwanafunzi.
Shangazi Mary Steward Mwenisongole akizungumza na wanafunzi wakike wa shule ya sekondari lyoto iliyopo eneo la Ilemi jijini Mbeya juu ya Sauti ya Shangazi inavyo jenga kujiamini na kujikubali kwa mabinti waliopo mashuleni.
Moja kati ya mwanafunzi wa kike wa shule ya Sekondari Lyoto akichangia jambo juu ya namna ambavyo mwanamke anatakiwa kujiamini na kujikubali pindi awapo shuleni na nyumbani kwa kupitia muongozo mzuri wa Sauti ya Shangazi. PICHA NA MR.PENGO MBEYA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...