Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Mpinzile akitoa maelezo kuhusiana na mradi wa Barabara ya Maelewano iliyoko katika Manispaa ya Morogoro mbele ya Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC).kamati hiyo iko ziara Mkoani Morogoro kwa ajili ya kukagua miradi ya maji na barabara.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mhe. Vedasto Ngombale akizungumza na watendaji wa Manispaa ya Morogoro kabla ya Kamati hiyo kutembelea miradi ya Barabara katika Manispaa hiyo. kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Abdallah Chikota.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...