Vikosi vya Timu za Vijiji vya Kidomole pamoja na Vikawe vikiwa katika picha ya pamoja na Mdhamini wao, Tippo Athuman a.k.a Zizzou (kati) kabla ya mtanange wao ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani. Mchezo huo uliokuwa na mvuto wa waina yake, ulikuwa na leongo la kuunganisha undugu baina ya wanakijiji hao. Mchezo huo ulimalizika kwa Timu ya Kidomole kutoka kifua mbele kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0.
Mdhamini wa Mchezo wa kirafiki kati ya Timu ya Kidomole FC na Vikawe FC, Tippo Athuman a.k.a Zizzou akitoa mawaidha kwa wachezaji wa timu zote mbili, kabla kabla ya mtanange wao ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani.
Picha mbalimbalia za mchezo kati ya Timu ya Kidomole FC na Vikawe FC, ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani. Mchezo huo uliokuwa na mvuto wa waina yake, ulikuwa na leongo la kuunganisha undugu baina ya wanakijiji hao. Mchezo huo ulimalizika kwa Timu ya Kidomole kutoka kifua mbele kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...