Mwenyekiti wa UVCCM Taifa (MCC) comrade Kheri James (kulia) akizungumza jambo na Meneja wa Bendi ya Vijana Jazz ya CCM, Comrade James Rock Mwakibinga leo wakati alipofika kwenye Msiba wa Bibi Paulina Mwita ambaye ni Bibi yake na James Rock Mwakibinga, uliotokea leo Kawe Ukwamani, jijini Dar es salaam. Mazishi ya Bibi Paulina Mwita yatafanyika Siku ya Alhamisi Tarehe 13/9/2018 Saa 6 Mchana kwenye makaburi ya Kinondoni FM jijini Dar es salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...