Mwenyekiti wa UVCCM Taifa (MCC) comrade Kheri James (kulia) akizungumza jambo na Meneja wa Bendi ya Vijana Jazz ya CCM, Comrade James Rock Mwakibinga leo wakati alipofika kwenye Msiba wa Bibi Paulina Mwita ambaye ni Bibi yake na James Rock Mwakibinga, uliotokea leo Kawe Ukwamani, jijini Dar es salaam. Mazishi ya Bibi Paulina Mwita yatafanyika Siku ya Alhamisi Tarehe 13/9/2018  Saa 6 Mchana kwenye makaburi ya Kinondoni FM jijini Dar es salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...