Ulikuwa unapoingia tu katika Maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018 unapokelewa na Burudani mbalimbali yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
 Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa (aliyevaa suti ya Blue) akiwa katika banda la Maliasili na Utalii wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018, yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) 
 Baadhi ya wadau mbalimbali wa Utalii wakiwa katika maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018, yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
 Wadau wa Utalii wakimsikiliza Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake  wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE), yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...