Ulikuwa unapoingia tu katika Maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018 unapokelewa na Burudani mbalimbali yaliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa (aliyevaa suti ya Blue) akiwa katika banda la Maliasili na Utalii wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018, yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
Baadhi ya wadau mbalimbali wa Utalii wakiwa katika maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) 2018, yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
Wadau wa Utalii wakimsikiliza Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE), yaliyo andaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...