Mshindi wa Shindano la Tigo Fiesta 2018  Chemsha Bongo Trivia , Zam Mohammed Zam wa Mombasa Unguja akipokea shilingi milioni moja kutoka kwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo tawi la Zanzibar, Adolph Mapenzi baada ya kushinda katika promosheni hiyo, makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za Tigo ziliopo Malindi Unguja
Mshindi wa Shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo Trivia toka Mkoa wa Tanga, William Alloyce Mganga(katikati) akikabidhiwa zawadi ya simu aina ya Tecno Camon X toka kwa Meneja Mauzo wa Tigo mkoa wa Tanga, Robert Kasulwa(kulia) na kushoto ni Msimamizi wa Duka la Tigo mkoa wa Tanga Hassani Nkua.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...