Balozi mpya wa Norway nchini Tanzania Mheshimiwa Elisabeth Jacobsen amemtembelea Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ofisini kwake bungeni leo. Balozi huyo amempa Spika salamu mbalimbali kutoka serikali ya nchini kwake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...