Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Fiy Sabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Alhaji Shekh. Mwalim Hafidhi Jabu akimkaribisha Mufti wa Tanzania Shekh. Abubakari Zubeir Ali katika viwanja Markaz Kidoti Mkoa Kaskazini Unguja.
Mufti wa Tanzania Shekh. Abubakari Zubeir Ali akizindua rasmin maandalizi ya Ijitimai ya kimataifa itayofanyika tarehe 22/02/2019 katika Kijiji cha Kidoti Mkoa Kaskazini Unguja uzinduzi huo umefanyia Msikiti wa Jumuiya ya Fiy Sabilillahi Tabligh Markaz Kidoti.
Mufti wa Tanzania Shekh. Abubakari Zubeir Ali akimsalimia Bii. Mwajuma juma mkaziwa Kidoti alietoa kiwanja kwa ajili ya kujengwa Mskiti huo.Picha na Makame Mshenga.

Mufti wa Tanzania Shekh. Abubakari Zubeir Ali akiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Vuai Mwinyi Khamis wa kwanza (kulia) na  Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Fiy Sabilillahi Tabligh Markaz Alhaji Mwalim Hafidhi Jabu kukagua Mskiti unaotarajiwa kufanyika Ijitimai ya kimataifa huko Kidoti.
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Vuai Mwinyi Khamis akimkaribisha Mufti wa Tanzania Shekh. Abubakari Zubeir Ali katika uzinduzi wa maandalizi ya Ijitimai ya kimataifa itayofanyika tarehe 22/02/2019 huko kijiji cha Kidoti Mkoa Kaskazini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana Issa Michuzi habari ni nzuri sana, Unajua kuripoti habari hakika Hii ni jamii huru 

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...