RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi, alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman, katika hafla ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W ), Maisara Zanzibar.jana usiku 19-11-2018.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa jukwaa kuu wakiwa wamesimama wakati ikisomwa Qaswida ya Kumtakia Rehema Mtume (S.AW) kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya Maulid yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Zanzibar jana usiku.19-11-2018.

NAIBU Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali, akizungumza na kutowa maelezo ya hafla hiyo ya Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Zanzibar jana usiku,19-11-2018.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Wake wa Viongozi na Wananchi akihudhuria Maulid Matukufu ya kuazaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Zanzibar jana usiku.19-11-2018.

WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakihudhuria hafla ya Maulid Matukufu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya mpira vya Maisara Suleiman Zanzibar usiku tarehe 19-11-2018.

MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi akiongoza dua ya ufunguzi wa Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Zanzibar, kulia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Alhajj Ali Mohamed Shein na kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.

/WANAFUNZI wa Madrassa Nouru’l Iman kutoka Karakana Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, wakisoma Qaswida wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika Kitaifakatika viwanja vya Maisara Suleiman Zanzibar jana usiku 19-11-2018

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...