Naibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso (Mb) leo amehitimisha ziara Ruangwa Mkoani Lindi kwa kukagua miradi ya Kitandi, Mihewe na Mbekenyera. Aidha Mheshimiwa Aweso amefanya ziara Wilayani Nachingwea kwa kukagua miradi ya Mtua na Chimbendenga.
 Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akipewa maelezo juu mitambo ya kusafisha maji ya mradi wa Mbekenyera - Ruangwa.
 Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiongea na Mkazi wa Mtua alipokuwa akikagua mradi wa maji katika kijiji hicho wakati wa ziara yake aliyoifanya leo.
Naibu wa Maji Jumaa Aweso akiongea na wananchi wa Chimbenenga Nachingwea wakati wa wa ziara yake ya kukagua miradi ya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...