Balozi wa Nchi ya Falme za Kiarabu hapa nchini, Khalifa Abdulrahman Mohamed Al- Marzooqi (kushoto), akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ,Mhandisi Hamad Masauni kuhusu ushirikiano wa nchi hizo mbili katika masuala ya Ulinzi na Usalama, baada ya kumtembelea katika Ofisi Ndogo za wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Ubalozi huo, Saddam Ahmed Ally.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Balozi wa Nchi ya Falme za Kiarabu hapa nchini, Khalifa Abdulrahman Mohamed Al- Marzooqi (kushoto) kuhusu ushirikiano wa nchi hizo mbili katika masuala ya Ulinzi na Usalama, baada ya kumtembelea katika Ofisi Ndogo za wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Ubalozi huo, Saddam Ahmed Ally.
Balozi wa Nchi ya Falme za Kiarabu hapa nchini, Khalifa Abdulrahman Mohamed Al- Marzooqi akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili katika Ofisi Ndogo za Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...