Balozi  wa  Nchi  ya  Falme  za  Kiarabu  hapa  nchini, Khalifa  Abdulrahman Mohamed  Al- Marzooqi (kushoto),  akizungumza  na  Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani ya  Nchi ,Mhandisi  Hamad  Masauni  kuhusu ushirikiano wa nchi  hizo  mbili katika  masuala ya Ulinzi na Usalama, baada  ya  kumtembelea  katika  Ofisi Ndogo  za  wizara  hiyo, jijini  Dar es Salaam. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Ubalozi huo, Saddam Ahmed Ally.
Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi   Hamad Masauni (kulia),  akizungumza  na  Balozi  wa  Nchi  ya  Falme  za  Kiarabu  hapa  nchini, Khalifa  Abdulrahman  Mohamed  Al- Marzooqi (kushoto)   kuhusu ushirikiano wa nchi  hizo  mbili katika  masuala  ya  Ulinzi  na  Usalama, baada  ya  kumtembelea  katika  Ofisi  Ndogo  za  wizara  hiyo,  jijini  Dar es Salaam. Katikati   ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Ubalozi huo, Saddam Ahmed Ally.
Balozi  wa  Nchi  ya  Falme  za  Kiarabu  hapa  nchini, Khalifa  Abdulrahman Mohamed  Al- Marzooqi  akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili katika Ofisi  Ndogo  za  Naibu  Waziri  wa  Mambo ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi Hamad  Masauni (kushoto), jijini  Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...