Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndugu Daudi Mbaga akitoa mada juu ya uwekezaji wa pamoja kwa wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali katika semina iliyoandaliwa na National Institute of Productivity jijini iliyofanyika Morogoro.
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndugu Daudi Mbaga akitoa mada juu ya uwekezaji wa pamoja kwa wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali katika semina iliyoandaliwa na National Institute of Productivity jijini iliyofanyika Morogoro.
Afisa Masoko Mwandamizi wa UTT AMIS Bi. Martha Mashiku akifundisha jinsi mifuko ya uwekezaji wa pamoja yaweza kuwa suluhisho kwa maisha baada ya kustaafu katika Semina iliyoandaliwa na TAGLA Morogoro.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...