Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndugu Daudi Mbaga akitoa mada juu ya uwekezaji wa pamoja kwa wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali katika semina iliyoandaliwa na National Institute of Productivity jijini iliyofanyika Morogoro.
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndugu Daudi Mbaga akitoa mada juu ya uwekezaji wa pamoja kwa wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali katika semina iliyoandaliwa na National Institute of Productivity jijini iliyofanyika Morogoro.
Afisa Masoko Mwandamizi wa UTT AMIS Bi. Martha Mashiku akifundisha jinsi mifuko ya uwekezaji wa pamoja yaweza kuwa suluhisho kwa maisha baada ya kustaafu katika Semina iliyoandaliwa na TAGLA Morogoro.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...