Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro
akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja mmoja wa washindi wa Promosheni ya Jigftishe
Yussuph Miraro kutoka mkoani Arusha.
Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa
Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja
mmoja wa washindi wa Promosheni ya Jigiftishe mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro
Hilda Lema.
Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro
akimkabidhi Mkazi wa Moshi mjini, mkoani Kilimanjaro Albina Mmbaga mfano wa
Hundi ya Shilingi milioni moja baadaya kufanikiwa kuibuka mshindi wa Promosheni
ya Jigiftishe.
Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro
(kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa zawadi ya shilingi milioni
moja wlizoshinda kupitia promosheni ya Tigo Jigiftishe kutoka mkoa wa
Kilimanjaro na Arusha muda mfupi baada ya kuwakabidhi zawadi zao mjini Moshi
jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...