Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Bibi Maimuna Tarish ambaye ndio mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali
akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
leo Jijini Dodoma mara baada kukagua eneo la Wizara hiyo ambapo
ameridhishwa na hatua iliyofikiwa.Wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu
wa Wizara hiyo Bw.Nicholaus William.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Nicholaus William (wa kwanza kushoto)
akimsikiliza Mhandisi Hagai Mziray kutoka Kampuni ya Mzinga Cooperation
ya mkoani Morogoro anayejenga Ofisi za Wizara hiyo wakati alipokagua
eneo hilo ambalo limefanyiwa usafi tayari kwa kuanza ujenzi wa ofisi
leo Jijini Dodoma.Weingine ni baadhi ya Viongozi wa Wizara hiyo.
Eneo linapojegwa ofisi za Wizara
ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo katika mji wa Serikali Jijini
Dodoma linavyoonekana baada ya kufanyiwa usafi.(Picha na Shamimu Nyaki
–WHUSM)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...