PIX 1
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bibi Maimuna Tarish ambaye ndio mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo leo Jijini Dodoma mara baada kukagua eneo la Wizara hiyo ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa.Wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu  wa Wizara hiyo Bw.Nicholaus William.
PIX 2
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Nicholaus William (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Mhandisi Hagai Mziray kutoka Kampuni ya Mzinga Cooperation ya mkoani Morogoro anayejenga Ofisi za Wizara hiyo wakati alipokagua eneo hilo ambalo limefanyiwa usafi tayari kwa  kuanza ujenzi wa ofisi leo Jijini Dodoma.Weingine ni baadhi ya Viongozi wa Wizara hiyo.
PIX 6
Eneo linapojegwa ofisi za Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo katika mji wa Serikali Jijini Dodoma linavyoonekana baada ya kufanyiwa  usafi.(Picha na Shamimu Nyaki –WHUSM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...