Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Paul Makonda 

Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam  Paul Makonda amewaalika Wananchi  Wapenda maendeleo kuungana na Rais Dkt. John Magufuli kwenye mapokezi ya Ndege ya Sita ya Serikali  aina ya Airbus A220-300 itakayowasili Nchini Kesho January 11 Saa sita Mchana ikitokea Nchini Canada. 

Hafla ya mapokezi ya ndege hiyo itafanyika kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Makonda amesema kuwa anatumaini wananchi wengi watajitokeza katika kuunga mkono jitihada za Mh. Rais ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuleta maendeleo.

Rais Magufuli aliahidi na sasa anatekeleza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...