Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo akizungumza wakati alipo wa kuwakaribisha Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu walioapishwa leo Ikulu.
Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI Dkt.Dorothy Gwajima akizungumza wakati alipokaribishwa ofisi ndogo za wizara mara baada ya kuapishwa leo Ikulu
Picha ya pamoja(Picha na Emmanuel Massaka wa MMG)
Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo akizungumza amempokea Katibu na Naibu Katibu wapya katika wizara hiyo baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Rais John Magufili leo, ambapo amewaasa kufanya kazi kwa weledi kwani wizara hiyo ni kubwa na ina mambo mengi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...