Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti na Utetezi wa Haki za Ardhi (Haki Ardhi) Bw. Cathbert Tomitho akielezea kwa kina juu ya mfumo wa utatuzi wa migogoro ya ardhi.
Ofisa Programu wa Taasisi ya Utafiti na Utetezi wa Haki za Ardhi (Haki Ardhi) Bw. Joseph Chiombola akitoa mada juu ya Sheria za ardhi kwa wanawake.
Bw. Nuhu Kitaluka akitoa mada juu ya mabadiliko ya Tabianchi, athari zake kwa wazilishaji wadogo wadogo katika kilimo,ufugaji na afya pia alitoa mifano kutoka wilaya za Morogoro na Mufindi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...