Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli (aliyesimama) akitambulishwa Bungeni na Spika wa Bunge Job Ndugai (hayupo pichani). Balozi huyo alifika Ofisini kwa Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
 Spika wa Bunge Job Ndugai akifurahia jambo na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
  Spika wa Bunge Job Ndugai akimueleza jambo Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .
 Spika wa Bunge Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwa Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake. PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...