Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akipokea tuzo ya Benki ya CRDB kuwa benki salama na ya uhakika katika huduma ya kutuma na kupokea miamala ya kimataifa (International transfers) 2018 kutoka kwa Makamu wa Rais wa Citi Bank Afrika Mashariki, Mary Sabwa, aliyemtembelea ofisini kwake, jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Joseph Witts.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...