Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akipokea tuzo ya Benki ya CRDB kuwa benki salama na ya uhakika katika huduma ya kutuma na kupokea miamala ya kimataifa (International transfers) 2018 kutoka kwa Makamu wa Rais wa Citi Bank Afrika Mashariki, Mary Sabwa, aliyemtembelea ofisini kwake, jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Joseph Witts.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...