Kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Kumbilamoto akimueleza Gavana wa Tarafa ya Ukonga namna ukarabati wa soko la Vingunguti unavyoendelea .
Kaimu meya Manispaa ya Ilala akionesha sehemu ambayo haijakarabatiwa na maji yanatuwama, hivyo kumtaka Wakandarasi wa eneo hilo kufanya haraka kukamilisha ujenzi. |
Mafundi ujenzi wanaendelea na ukarabati katika Machinji ya Vingunguti ambapo kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti Omary Kumbilamoto alitembelea ujenzi huo kuangalia ni hatua gani imefikiwa
--
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...