Kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Kumbilamoto akimueleza Gavana wa Tarafa ya Ukonga namna ukarabati wa soko la Vingunguti unavyoendelea .
Kaimu meya Manispaa ya Ilala akionesha sehemu ambayo haijakarabatiwa na maji yanatuwama, hivyo kumtaka Wakandarasi wa eneo hilo kufanya haraka kukamilisha ujenzi.

Mafundi ujenzi wanaendelea na ukarabati katika Machinji ya Vingunguti ambapo kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti Omary Kumbilamoto alitembelea ujenzi huo kuangalia ni hatua gani imefikiwa
--

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...