Kampuni ya mbolea ya OCP imeendelea kutoa mafunzo ya kilimo bora katika mikoa ya Songwe na Njombe.Mafunzo hayo yanatolewa bure sambamba na upimaji wa afya ya udongo yanayotarajiwa kuwafikia wakulima zaidi ya 20,000 katika awamu yake ya kwanza.
Mmoja wa wakulima akitoa shukrani kwa niaba ya wakulima wa mikoa ya Songwe na Njombe mara baada ya mafunzo ya kilimo bora yaliyotolewa jana na Kampuni ya mbolea ya OCP.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...