Pichani ni eneo la mradi wa umwagiliaji kwa njia ya matone katika Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele. (PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)
 Kaimu mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele Dk. Fortunatus Kapinga aliyekaa kati kati hivi karibuni akitoa elimu kwa vitendo kwenye eneo la mradi wa umwagiliaji kwa njia ya matone katika Taasisi hiyo kwa waandishi wa habari kutoka Lindi na Mtwara na watafiti walioshiriki mafunzo hivi karibuni ya Sayansi na Teknolojia, kulia kwake ni kaimu mkurugenzi kutoka Tume ya Taifa ya  Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dk. Msangi Bakari, mwigine ni mtafiti wa mazao ya mafuta katika Taasisi hiyo Joseph Nzunda (PICHA NA FATNA MWINYIMKUU) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...