Mshindi wa kwanza wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quraan Kijana Mohamed  Diallo kutoka nchini Senegal akipokea kitita cha shilingi milioni 20 kutoka katika benki ya Amana wadhamini wakuu wa mashindano hayo, makabidhiano hayo yamefanyika leo katika Tawi la Benki hiyo lililopo katika Jengo la Diamond Plaza, jijini Dar es salaam.
Mshindi wa pili wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quraan Kijana Furuq Kabiru Yakubu kutoka nchini Nigeria akipokea kitita cha shilingi milioni 10 kutoka katika benki ya Amana wadhamini wakuu wa mashindano hayo.
Mshindi wa tatu wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quraan Kijana Shamsuddin Hussein Ali kutoka Tanzania Zanzibar nae akipokea zawadi yake kutoka katika benki ya Amana wadhamini wakuu wa mashindano hayo.
Mkuu wa idara ya Masoko kutoka Amana Bank ndugu, Dasu Mussa akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari katika tukio la kuwakabidhi washindi walio shinda mashinano ya kusoma na kuhifadhi Quraan kwa mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...