Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na baadhi ya wamiliki na wafanyabiashara wa Hoteli baada ya kumalizika mkutano baina yao katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019. 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na wamiliki na wafanyabiashara wa hoteli baada ya kumalizika mkutano baina yao uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019. Kushoto ni Katibu Mkuu wa wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Mnyepe na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Bi. Agnes Kayola.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Faraji Mnyepe akifafanua jambo wakati wa mkutano wa wamiliki na wafanyabiashara wa hoteli (hawapo pichani) Mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019.
Baadhi ya Wafanyabiashara na Wamiliki wa Hoteli wakifuatilia kwa ukaribu mkutano baina yao na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb)(hayupo pichani) Mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019.
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Faraji Mnyepe wakati wa Mkutano wa wamiliki na wafanyabiashara wa hoteli (hawapo pichani) Mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019.
Sehemu ya Wafanyabiashara na Wamiliki wa Hoteli waliohudhuria mkutano wa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb)(hayupo pichani). Mkutano uliofanyika Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019.
Baadhi ya Wafanyabiashara na Wamiliki wa Hoteli wakisubiri kupiga picha ya pamoja na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb)(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa mkutano baina yao katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. June 15, 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...