Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Kampuni ya Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. . Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Martin Shigella (kulia) akisikiliza jambo kutoka kwa Meneja wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen (mkono wa kulia wa mkuu wa mkoa) wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini. Wa kwanza kushoto ni Meneja wa Vodacom shop, Micheal Mtawali.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella (Kushoto) akisimkiliza Meneja wa Vodacom Mkoa wa Tanga, Fadhili Linga, (kulia) wakati wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Aliyesimama katikati ni Meneja wa Vodacom Kanda ya kaskazini, Brigita Stephen. Uzinduzi wa duka hilo umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja wake katika mikoa mbalimbali nchini.
Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa Vodacom na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella (Wanne kutoka kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka jipya la Vodacom jijini Tanga hivi karibuni. Watatu kutoka kulia ni Meneja wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen. Uzinduzi wa duka hilo ni miongoni umelenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za simu katika mkoa ikiwa ni sehemu ya jitihada za kampuni hiyo kuwafikia zaidi wateja katika mikoa mbalimbali nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...