Na, Editha Edward-Tabora
Waalimu wa Vyuo vya Uuguzi, maabara, Utabibu pamoja na Afya ya jamii wameiomba Wizara ya Afya Maendeleo Ya jamii jinsia wazee na Watoto kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya sheria ya mikopo kwa Vyuo vya afya ngazi ya Astashahada na Astashahada kupata mikopo ili iweze kukidhi kutoa Elimu dhidi ya wanafunzi wanashindwa kumudu gharama za masomo
Ameyasema Hayo mkuu wa chuo cha Sayansi za Afya Nkiga Mkoani Tabora Robert Masano katika mahafali ya Tano yaliyofanyika leo katika chuo hicho
Dkt. Jackson Kaluzi Mwenyekiti wa bodi ya taasisi ya sayansi Nkiga amesema"kama inawezekana Serikali iangalie suala hili katika Jicho la tatu kwa Sababu hawa ni watanzania hapa Tunaona wakati mwingine vijana wanapata shida kulipa ada inabidi wakati mwingine, Mwanzoni tulikuwa na ufadhili kutoka ulaya Lakini kadri siku zinavyoenda inaonekana hatupati ufadhili wa kutosha "Amesema Kaluzi
Hindu Salumu na Amani Azack ni baadhi ya wahitimu wa Ngazi ya Astashahada na Stashahada ya Uuguzi na maabara katika chuo hicho wamesema Tatizo la mikopo linawapelekea baadhi ya wanafunzi kurudi nyumbani kwa kukosa Ada na na wengine kurudia muhula na kukosa pesa ya mahitaji madogo madogo
Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Igunga John Mwaipopo amesema amelipokea suala hilo na ataliwakilisha sehemu husika ili kila Mwanafunzi anayesomea fani za utabibu Uuguzi Afya ya jamii waweze kupewa
Waalimu wa Vyuo vya Uuguzi, maabara, Utabibu pamoja na Afya ya jamii wameiomba Wizara ya Afya Maendeleo Ya jamii jinsia wazee na Watoto kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya sheria ya mikopo kwa Vyuo vya afya ngazi ya Astashahada na Astashahada kupata mikopo ili iweze kukidhi kutoa Elimu dhidi ya wanafunzi wanashindwa kumudu gharama za masomo
Ameyasema Hayo mkuu wa chuo cha Sayansi za Afya Nkiga Mkoani Tabora Robert Masano katika mahafali ya Tano yaliyofanyika leo katika chuo hicho
Dkt. Jackson Kaluzi Mwenyekiti wa bodi ya taasisi ya sayansi Nkiga amesema"kama inawezekana Serikali iangalie suala hili katika Jicho la tatu kwa Sababu hawa ni watanzania hapa Tunaona wakati mwingine vijana wanapata shida kulipa ada inabidi wakati mwingine, Mwanzoni tulikuwa na ufadhili kutoka ulaya Lakini kadri siku zinavyoenda inaonekana hatupati ufadhili wa kutosha "Amesema Kaluzi
Hindu Salumu na Amani Azack ni baadhi ya wahitimu wa Ngazi ya Astashahada na Stashahada ya Uuguzi na maabara katika chuo hicho wamesema Tatizo la mikopo linawapelekea baadhi ya wanafunzi kurudi nyumbani kwa kukosa Ada na na wengine kurudia muhula na kukosa pesa ya mahitaji madogo madogo
Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Igunga John Mwaipopo amesema amelipokea suala hilo na ataliwakilisha sehemu husika ili kila Mwanafunzi anayesomea fani za utabibu Uuguzi Afya ya jamii waweze kupewa
Mkuu wa chuo cha Sayansi Nkinga Robert Masano akieleza ugumu uliopo katika kuendesha kozi hizi za afya bila mikopo.
Darubini zinazotumika kupima vijidudu visivyoonekana kwa macho ya kawaida.
Wahitimu wa fani ya utabibu Uuguzi maabara na Afya ya Jamii wa chuo cha Sayansi za Afya Nkiga wakitunukiwa vyeti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...