Wakulima katika Kata Fukalo Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, wamemweleza Mkuu wa Wilaya hiyo, Senyi Ngaga (katikati) kwamba wako hatarini kukumbwa na baa la njaa baada ya wadudu waharibifu wakiwemo funza na panya kuvamia mazao yao shambani na hivyo kuomba Serikali iwasaidie kupambana na wadudu hao.
Tazama vidio hapa chini
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...