Wakulima katika Kata Fukalo Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, wamemweleza Mkuu wa Wilaya hiyo, Senyi Ngaga (katikati) kwamba wako hatarini kukumbwa na baa la njaa baada ya wadudu waharibifu wakiwemo funza na panya kuvamia mazao yao shambani na hivyo kuomba Serikali iwasaidie kupambana na wadudu hao.
Tazama vidio hapa chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...