Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (katikati), akiongoza Kikao cha
Utendaji cha Maofisa Wakuu wa Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es
salaam, kujadili utendaji wa kazi za Polisi, kufanya tathmini, Mafanikio,
Changamoto na kuweka mikakati ya kutekeleza kazi za Polisi hususan
kulinda maisha ya raia na mali zao, kushoto kwake ni Kamishna wa
Kamisheni ya Ushirikishwaji wa Jamii CP Mussa A. Mussa na Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas na kulia kwake ni
Kamishna wa Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP Shabani Hiki
na Kamishna wa Utawala na Rasilimali Watu CP Benedict Wakulyamba.
Picha na Jeshi la Polisi. 
Maofisa Wakuu wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi wakifuatilia hotuba
inayotolewa na Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai
DCP Charles Kenyela (aliyesimama), Wakati wa Kikao cha Utendaji cha
Maofisa Wakuu kilichofanyika jijini Dar es salaam na kujadili utendaji wa
kazi za Polisi, kufanya tathmini, Mafanikio, Changamoto na kuweka
mikakati ya kutekeleza kazi za Polisi hususan kulinda maisha ya raia na
mali zao ili kuhakikisha jamii inakuwa salama. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...