Kwa wanaomfahamu Mahad Nur Gurguurte taarifa ni kwamba kafariki dunia jana katika shambulio la kigaidi la Al-Shabaab katika hoteli moja mjini Kismayu huko Somalia.
Marehemu Mahdi atakumbukwa zaidi kwa biashara za hoteli nchini, ikiwemo ya Paradise Beach ya Bagamoyo kabla ya kuungua, TANSOMA, kiwanda cha uniform na viatu vya viwandani na Supermarket kadhaa.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ) Mola na aiweke Roho yake mahala pema peponi - AMIN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...