Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akikata keki iliyoandaliwa na wafanyakazi wa Taasisi hiyo wakati wa hafla fupi ya kumpongeza baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitatu kuanzia Julai 16, 2019.
Mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Justina Lugali akimpatia ua la pongezi lililotolewa na wafanyakazi wa Taasisi hiyo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Prof. Mohamed Janabi wakati wa hafla fupi ya kumpongeza baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitatu kuanzia Julai 16, 2019.Picha na JKCI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...