Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Stanbic Tanzania (kushoto) akimkabidhi zawadi Mh. Balozi wa China nchini Tanzania, Wang Ke wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'I Go Tanzania' ambayo inatoa punguzo la bei na ofa mbali mbali kwa wamiliki wa kadi za benki ya ICBC watakaotembelea Tanzania. Kampeni hii inalenga kukuza sekta ya utalii na kuongeza idadi ya watalii kutoka China nchini Tanzania.
  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Dr Hamisi Kigwangalla (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Stanbic Tanzania, Ken Cockerill wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya 'I Go Tanzania' ambayo inatoa punguzo la bei na ofa mbali mbali kwa wamiliki wa kadi za benki ya ICBC watakaotembelea Tanzania. Kampeni hii inalenga kukuza sekta ya utalii na kuongeza idadi ya watalii kutoka China nchini Tanzania.    
 Mkurugenzi Msaidizi wa Benki ya Viwanda na Biashara ya China (ICBC), Ofisi ya uwakilishi ya nchini Afrika Kusini, Gang Sun (kushoto), Mh. Balozi wa China nchini Tanzania (wa pili kushoto), Wang Ke, Waziri wa Maliasili na Utalii. Mh. Dr Hamisi Kigwangalla (katikati),Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Stanbic Tanzania, Ken Cockerill (wa pili kulia) na Mkuu wa kitengo cha kadi na malipo kutoka Standard Bank Group, Lincoln Mali (kulia) wakati wa uzinduzi wa  kampeni ya 'I Go Tanzania' ambayo inatoa punguzo la bei na ofa mbali mbali kwa wamiliki wa kadi za benki ya ICBC watakaotembelea Tanzania. Kampeni hii inalenga kukuza sekta ya utalii na kuongeza idadi ya watalii kutoka China nchini Tanzania.     

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...